a
Kut 15:7
;
Mwa 19:13
;
1Kor 10:10
;
Rum 2:8
Psalms 78:49-50
49
a
Aliwafungulia hasira yake kali,
ghadhabu yake, hasira na uadui,
na kundi la malaika wa kuharibu.
50
Aliitengenezea njia hasira yake,
hakuwaepusha na kifo,
bali aliwaachia tauni.
Copyright information for
SwhNEN